Mathayo 7:17-20
17
Vivyo hivyo, mti mwema huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya.
18
Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.
19
Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.
20
Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.