Skip to content
Mathayo 7:15-16

Mathayo 7:15-16

15
“Jihadharini na manabii wa uongo, wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini ndani ni mbwa mwitu wakali.
16
Mtawatambua kwa matunda yao. Je, watu huchuma zabibu kwenye miiba, au tini kwenye michongoma?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options