Skip to content
Mathayo 7:13-14

Mathayo 7:13-14

13
“Ingieni kupitia mlango mwembamba, kwa maana lango ni pana na njia ni pana ielekeayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa kupitia lango hilo.
14
Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options