Skip to content
Mathayo 6:33-34

Mathayo 6:33-34

33
Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.
34
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia yenyewe. Yatosha kwa siku masumbufu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options