Skip to content
Mathayo 6:19-20

Mathayo 6:19-20

19
“Msijiwekee hazina duniani, mahali ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi huvunja na kuiba.
20
Lakini jiwekeeni hazina mbinguni, mahali ambapo nondo na kutu haviharibu, wala wevi hawavunji na kuiba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options