Skip to content
Mathayo 6:14-15

Mathayo 6:14-15

14
Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.
15
Lakini msipowasamehe watu wengine makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options