Skip to content
Mathayo 5:38-39

Mathayo 5:38-39

38
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’
39
Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options