Skip to content
Mathayo 5:3-6

Mathayo 5:3-6

3
“Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
4
Heri wale wanaohuzunika, maana hao watafarijiwa.
5
Heri walio wapole, maana hao watairithi nchi.
6
Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watatoshelezwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options