Skip to content
Mathayo 5:27-28

Mathayo 5:27-28

27
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’
28
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options