Skip to content
Mathayo 5:23-24

Mathayo 5:23-24

23
“Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako ana kitu dhidi yako,
24
iache sadaka yako hapo mbele ya madhabahu. Enda kwanza ukapatane na ndugu yako; kisha urudi na ukatoe sadaka yako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options