Skip to content
Mathayo 5:10-11

Mathayo 5:10-11

10
Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
11
“Heri ninyi watu watakapowashutumu, na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya aina zote kwa uongo kwa ajili yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options