Skip to content
Mathayo 4:8-9

Mathayo 4:8-9

8
Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake,
9
kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options