Skip to content
Mathayo 4:19-22

Mathayo 4:19-22

19
Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”
20
Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
21
Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.
22
Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options