Skip to content
Mathayo 28:12-13

Mathayo 28:12-13

12
Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13
wakiwaambia, “Inawapasa mseme, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options