Skip to content
Mathayo 27:9-10

Mathayo 27:9-10

9
Ndipo likatimia lile lililonenwa na nabii Yeremia, kwamba, “Walichukua vile vipande thelathini vya fedha, thamani aliyopangiwa na watu wa Israeli,
10
wakanunulia shamba la mfinyanzi, kama vile Bwana alivyoniagiza.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options