Mathayo 27:28-29
28
Wakamvua nguo zake na kumvika vazi la rangi nyekundu, kisha
29
wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”