Skip to content
Mathayo 27:16-17

Mathayo 27:16-17

16
Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.
17
Hivyo umati wa watu walipokusanyika, Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Yesu yeye aitwaye Kristo?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options