Skip to content
Mathayo 26:71-72

Mathayo 26:71-72

71
Alipotoka nje kufika kwenye lango, mtumishi mwingine wa kike alimwona, akawaambia watu waliokuwepo, “Huyu mtu alikuwa pamoja na Yesu, Mnazareti.”
72
Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options