Skip to content
Mathayo 27:1-2

Mathayo 27:1-2

1
Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani wote na wazee wa watu wakafanya shauri pamoja dhidi ya Yesu ili kumuua.
2
Wakamfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato, ambaye alikuwa mtawala wa Kirumi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options