Skip to content
Mathayo 26:33-35

Mathayo 26:33-35

33
Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”
34
Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”
35
Lakini Petro akasisitiza, “Hata kama itabidi kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Nao wanafunzi wale wengine wote wakasema vivyo hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options