Skip to content
Mathayo 26:26-27

Mathayo 26:26-27

26
Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu.”
27
Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options