Skip to content
Mathayo 26:14-15

Mathayo 26:14-15

14
Kisha mmojawapo wa wale kumi na wawili, aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda kwa viongozi wa makuhani
15
na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Yesu mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options