Skip to content
Mathayo 24:48-49

Mathayo 24:48-49

48
Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
49
kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options