Skip to content
Mathayo 24:42-43

Mathayo 24:42-43

42
“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
43
Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options