Mathayo 24:39-41
39
Nao hawakujua lolote mpaka gharika ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
40
Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
41
Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.