Skip to content
Mathayo 24:11-14

Mathayo 24:11-14

11
Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.
12
Kwa sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo wa watu wengi utapoa,
13
lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
14
Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo mwisho utakapokuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options