Skip to content
Mathayo 24:1-2

Mathayo 24:1-2

1
Yesu akatoka Hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.
2
Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options