Skip to content
Mathayo 23:5-7

Mathayo 23:5-7

5
“Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao.
6
Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.
7
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options