Skip to content
Mathayo 23:4-5

Mathayo 23:4-5

4
Wao hufunga mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata kuinua kidole ili kuisogeza.
5
“Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options