Skip to content
Mathayo 23:29-32

Mathayo 23:29-32

29
“Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
30
Nanyi mwasema, ‘Kama tungaliishi wakati wa baba zetu, tusingalikuwa tumeshiriki katika kumwaga damu ya manabii!’
31
Hivyo mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.
32
Haya basi, kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options