Skip to content
Mathayo 22:25-26

Mathayo 22:25-26

25
Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.
26
Ikatokea vivyo hivyo kwa yule ndugu wa pili, na wa tatu, hadi wote saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options