Skip to content
Mathayo 21:4-5

Mathayo 21:4-5

4
Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:
5
“Mwambieni Binti Sayuni, ‘Tazama, mfalme wako anakuja kwako, ni mnyenyekevu, naye amepanda punda, juu ya mwana-punda, mtoto wa punda.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options