Skip to content
Mathayo 21:18-19

Mathayo 21:18-19

18
Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa akirudi mjini, alikuwa na njaa.
19
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options