Mathayo 21:18-19
18
Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa akirudi mjini, alikuwa na njaa.
19
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka.