Skip to content
Mathayo 20:9-10

Mathayo 20:9-10

9
“Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja.
10
Hivyo wale walioajiriwa kwanza walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila mmoja wao pia alipokea dinari moja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options