Skip to content
Mathayo 20:29-30

Mathayo 20:29-30

29
Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakiondoka Yeriko, umati mkubwa wa watu ulimfuata.
30
Vipofu wawili walikuwa wameketi kando ya barabara. Waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapita, wakapiga kelele wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options