Skip to content
Mathayo 2:17-18

Mathayo 2:17-18

17
Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
18
“Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options