Skip to content
Mathayo 19:7-8

Mathayo 19:7-8

7
Wakamuuliza, “Kwa nini basi Mose aliagiza mtu kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?”
8
Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options