Skip to content
Mathayo 17:15-18

Mathayo 17:15-18

15
“Bwana, mhurumie mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana. Mara kwa mara huanguka kwenye moto au kwenye maji.
16
Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.”
17
Yesu akajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni mvulana hapa kwangu.”
18
Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options