Skip to content
Mathayo 16:5-7

Mathayo 16:5-7

5
Wanafunzi wake walipofika ngʼambo ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
6
Yesu akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”
7
Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options