Skip to content
Mathayo 16:13-15

Mathayo 16:13-15

13
Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?”
14
Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii.”
15
Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options