Skip to content
Mathayo 15:10-11

Mathayo 15:10-11

10
Yesu akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:
11
kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni kile kitokacho kinywani mwake.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options