Skip to content
Mathayo 14:6-8

Mathayo 14:6-8

6
Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza mbele ya watu waliohudhuria, akamfurahisha sana Herode,
7
kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.
8
Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options