跳到主要内容
Mathayo 14:29-30

Mathayo 14:29-30

29
Yesu akamwambia, “Njoo.” Basi Petro akatoka kwenye chombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
30
Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options