Skip to content
Mathayo 14:20-21

Mathayo 14:20-21

20
Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
21
Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options