Skip to content
Mathayo 14:17-21

Mathayo 14:17-21

17
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
18
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
19
Yesu akaagiza makutano wakae chini kwenye nyasi. Akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia makutano.
20
Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
21
Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options