Skip to content
Mathayo 14:15-18

Mathayo 14:15-18

15
Ilipofika jioni, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na muda sasa umekwisha. Waage makutano ili waende zao vijijini wakajinunulie chakula.”
16
Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
17
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
18
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options