Skip to content
Mathayo 14:1-2

Mathayo 14:1-2

1
Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Yesu,
2
akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji; amefufuka kutoka kwa wafu! Hii ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options