Skip to content
Mathayo 13:56-57

Mathayo 13:56-57

56
Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
57
Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options