Skip to content
Mathayo 12:11-12

Mathayo 12:11-12

11
Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?
12
Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options