Skip to content
Mathayo 10:37-39

Mathayo 10:37-39

37
“Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu.
38
Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
39
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options